Wednesday, 1 October 2014

MATOKEO YA MECHI ZA UEFA CHAMPIONS LEAGUE....

Full Time Katika uwanja wa Emirates
Danny Welbeck akishangilia hat trick yake ambapo ni mchezaji mwingereza wa sita kufunga goli tatu katika UEFA CHAMPIONS wengine wakiwa ni Newell, Andrew Cole, Shearer, Owen, na Rooney. Na katika klabu yake ya Arsenal ni 3 kufunga bao tatu wengine ni Thierry Henry (2002) na  Nicklas Bendtner (2010).


Arda Turan aliefunga goli moja la pekee dhidi ya Juventus ambapo Gianluigi "GigiBuffon alikua hajafungwa goli toka msimu huu uanze.

Basel FC vs Liverpool
Cristian Ronaldo sasa afikisha goli 69 zikiwa zimebaki 2 kufikia rekodi ya mpachika mabao UEFA CHAMPIONS wa mda wote inayoshikiliwa na  Raul Gonzalez. ya goli 71




No comments:

Post a Comment